Quantcast
Channel: Fadhy Mtanga
Browsing all 76 articles
Browse latest View live

Leo ni Siku ya Mashoto Duniani

LEO Agosti 13, ni siku ya Mashoto Duniani (International Lefthanders Day). Siku hii imekuwa ikisherehekewa kila mwaka toka Agosti 13, 1976 pale chama cha Mashoto (Lefthanders International)...

View Article


Umeme wa kulenga kwa manati

“UMEME na maji Tanzania ishakuwa kero…watu kero kero!”Nimejaribu kupitia maktaba yangu kuitafuta hiyo albamu ya Wagosi wa Kaya, kundi la muziki wa Bongo Fleva liliondokea kutamba sana mwanzoni mwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimerejea

ASALAAM aleykum wadau.Ni kitambo kweli sijaonekana jamvini humu.  Niliwamiss ile mbaya.  Najua nimepitwa na mambo chungumbovu.  Ilikuwa nje ya uwezo wangu.  Lakini kwa uweza wake yeye aliye juu,...

View Article

Kuanguka kwa Ghaddaf kunatoa fundisho gani kwa viongozi Afrika?

NILIPOANDIKA makala kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka jana, kaka yangu na mwanazuoni ninayemheshimu Profesa Matondo Nzunzullima alitoa maoni akisema, “historia haidanganyi”.  Katika makala hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airpoint

  Hapa ni Airpoint, mahali ambapo barabara ipo juu kuliko barabara zote nchini.  Eneo hili lipo barabara ya Chunya nje ya jiji la Mbeya.Hapa upo juu kabisa Airpoint.  Unalitazama Bonde la Ufa la Afrika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kasumulu border

Kuelekea mpaka wa Tanzania na Malawi.you must be the changes you wish to see in the world.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malaria inakubalika

  WAKATI rais wetu alifunga safari hadi Marekani mara nyingi tu kuomba msaada wa vyandarua ili kuhakikisha malaria haikubaliki tena, hali ni tofauti katika kijiji cha Liulilo, pembezoni mwa Ziwa Nyasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zawadi ya dagaa kwa Yasinta na Markus

Hao dagaa wa Ziwa Nyasa ni zawadi kwa watani zangu Yasinta Ngonyani na Markus Mpangala ambao ni wapenzi wakubwa wa ugali kwa dagaa.  Ila nitajitahidi kuwatafutia walau lita mbili tatu za ulanzi kutoka...

View Article


Porojo la leo: Wenyewe si mnataka kusaidiwa

TARATIBU Mwananchi mimi nairekebisha tai yangu.  Kisha nikaingia zangu mgahawani.  Jua linawaka vibaya mno utafikiri limeunganishwa gridi ya taifa.  Haaa!  Nilishasau humu Jamhuri ya Giza hakuna tena...

View Article


Kwa mtindo huu ajali za barabarani hazitokoma

NIMEJIULIZA maswali mengi sana kichwani pasipo kupata majibu.  Siku chache zilizopita nilikuwa katika safari kutoka Mbeya mjini kuelekea Kyela, wilaya inayopakana na nchi ya Malawi.  Katika safari hiyo...

View Article

CCM na hadithi ya mwanaume aliyeyasahau majukumu yake

ILIPATA kutokea pahala fulani mumu humu ulimwenguni.  Paliondokea mwanamume mmoja awaye rijali.  Mwanaume huyo alisifika sana kijijini kwake kutokana na uchapakazi wake.  Mwanaume huyo alijenga nyumba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya ya Kizungumkuti kutoka kwa Fadhy Mtanga

Wadau,Asalaam aleykum!Nimekuwa kimya kwa kipindi kirefu katika ulimwengu wa kublog.  Chambilecho wahenga, kimya kingi kina mshindo mkuu.  Sikuwa kimya kwa kuwa labda nimechoka kublog.  La hasha....

View Article

Pole kwa Watanzania wote

NI SIKU mbili sasa, taifa linazizima kwa habari za kushitua mioyo kuhusiana na mafuriko makubwa katika jiji la Dar es Salaam.  Hali ni mbaya zaidi.  Mvua inanyesha kwa kiwango kikubwa mno ambacho...

View Article


Heri ya siku ya kuzaliwa mama yangu

Heri ya siku ya kuzaliwa mama yangu mpenzi. Leo tarehe 18 Januari ni siku muhimu sana kwangu. Ni siku ambayo mama yangu mpenzi ulikuja duniani. Ni siku iliyoandaa uwepo wangu duniani. Mama, leo...

View Article

Porojo la leo: Upepo hupita tu

“MV MAPENZI…meli ya wapendanao…moyo kama bahari manahodha mimi na wewe….kuchafuka kwa bahari siyo mwisho wa safari…meli ilipokumbwa na dhoruba nahodha akajitosa baharini….wale papa na nyangumi wenye...

View Article


Najiuliza kuhusu huyu mfanyakazi

Mfanyakazi anayelipwa 150,000/=...kapanga chumba kimoja tu ambacho kodi ni 30,000/ kwa mwezi (bado atalazimishwa alipe kodi ya miezi 6 ama mwaka 1 wakati analipwa mshahara kwa mwezi). Anaishi Yombo...

View Article

Barua kwako mpenzi wangu

Mpenzi wangu,Nikupendaye kwa dhati kutoka moyoni mwangu,Nakusalimia salamu ya huba iliyoambatana na busu motomoto.Mpenzi wangu nianze kwa kukushukuru sana kwa barua yako iliyojaa huba ambayo nimeipokea...

View Article


Tunapowahubiria injili wenye njaa

Chifu Thomas Marealle (Juni 12, 1915 – Februari 14, 2007) Mangi Mkuu wa huko Uchaggani  wakati fulani mwaka 1957  alipata kusema, "Huwezi kuhubiri injili kwa watu wenye njaa".  Kwa hizi siku mbili...

View Article

Nani kasema wanaume hawana kumbukumbu na matukio?

Soma hii...... Mwanamke kashituka kutoka usingizini usiku wa manane na kugungua mumewe hayupo kitandani. Mwanamke akachanganyikiwa na kuamua kushuka hadi chini.  Akamkuta mumewe ameketi juu ya jikoni,...

View Article

Porojo la leo: Muungano huu si halali

“NDUGU yangu tizama unakokwenda…..vile vile ukumbuke ulikotoka….hii dunia…dunia uwanja wa fujo…mwenye ngoma zake acheze zipasuke….ndugu yangu tizama unakokwenda….vile vile ukumbuke ulikotokaaaaa…….”...

View Article
Browsing all 76 articles
Browse latest View live