Quantcast
Channel: Fadhy Mtanga
Browsing all 76 articles
Browse latest View live

Haki ya wafanyakazi kugoma kwa mujibu wa sheria

MGOMO wa wafanyakazi ni ile hali ya wafanyakazi kusitisha ufanyaji kazi kwa muda fulani ili kumlazimisha mwajiri wao akubaliane na madai yao.  Ni njia ambayo wafanyakazi huitumia katika kumshinikiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siku Koero Mkundi alipochangamsha jamvi

Ilikuwa Septemba 7, 2010 miaka miwili nyuma.  Bofya hapa.KOERO UTAOLEWA NA NANI? BADO NI KITENDAWILI, LAKINI LABDA MARKUS AU MTANGA…………….LOLNajua wengi watashangaa maana wanajua mie sioleki, lakini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu Nyerere aliona mbali

14 OKTOBA 1999, Tanzania, Afrika na dunia nzima ilipatwa mshituko baada ya kutangaziwa kuwa mwanamapinduzi na mpigania haki na usawa duniani, baba wa taifa la Tanzania, mwanaAfrika mzalendo wa kweli,...

View Article

Hawa watu!

KATIKA kupitia pitia historia barani Afrika nimekutana na mambo kadha wa kadha ambayo yameniacha kinywa wazi mara chungu mbovu.  Haya ni baadhi.Mohandas Karamchand Gandhi (Mahatma Gandhi) wakati huo...

View Article

Porojo za leo: Mei Mosi!

MWANANCHI mimi naamshwa kutoka usingizini kwa mlio mkali wa simu yangu ya Kichina.  Simu inalia kweli utadhani imefungwa sub-woofer.  Nakwambia ukubwa wa muziki wake usiombe mtu akupigie simu ukiwa...

View Article


Sisi tu wamoja

ASUBUHI ya leo ninapokutana na  habari za kanisakulipuliwa najikuta nikitafakari miaka kadhaanyuma. Ninatafakari huku nikisononeshwa najamii yetu inakoelekea, hususani mipasuko yakidini.Ninajaribu...

View Article

Porojo za leo: Magumashi magumashi tu sebuleni hadi jikoni!

“NATAKA kulewaaaaa…..lewaaa….nataka kulewaaaa…..lewaaa….nikizidisha nimwage radhi..!”  Unaweza ukadhani mwananchi mie nimepatwa na wazimu.  Huchelewi kuwapigia simu nduguzo na kuwaambia, “Mwananchi...

View Article

Majina ya kusisimua ambayo watu wamewahi kupewa duniani

Ushawahi kusikia majina yenye kusisimua?  Bila shaka umekutana nayo mengi katika jamii yako.  Kwa mfano, katika jamii ya Kitanzania tumekwishakutana na majina kama Kibakuli, Siogopi, Sinataabu ama hata...

View Article


Viongozi wa Kenya wanapowasaliti wananchi wao

JUMANNE wiki hii, macho ya Wakenya yalielekezwa mjini The Hague, Uholanzi yalipo makao ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya jinai (ICC).  Kizimbani anasimama makamu wa rais wa Kenya William Ruto,...

View Article


Kwa nini nchi za Afrika zinaihara ICC?

MASHIRIKA ya habari yana ripoti juu ya kile kinachoendelea jijini Adis Ababa, Ethiopia kunakofanyika mkutano wa Umoja wa Afrika (AU).  Wakati mkutano huo ukiendelea, Kenya na Sudan zinasemekana kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya ya Huba

HABARI za siku tele?Ni muda mrefu umepita sijaandika humu. Ukimya wangu haukuwa bure.  Nilikuwa jikoni nikiandaa pishi.Sasa pishi limeiva.  Ni riwaya ya HUBA.  Kama lilivyo jina la kitabu, ni simulizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimerejea rasmi kublog

Ni muda mrefu sana umepita tangu nilipoweka bandiko kwa mara ya mwisho hapa kibarazani kwangu.  Marafiki zangu wamekuwa wakiniuliza mara kwa mara juu ya kupotea kwangu katika kublog.Sikuwa na sababu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kakao kutoka Matema

Tunda la kakao, kijijini Kisyosyo, kata ya Matema, wilayani Kyela, mkoani Mbeya,Ni utajiri unaowazunguka wananchi.  Lakini, ni wazi hauwanufaishi kwa kiwango cha kuridhisha.you must be the changes you...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapambazuko ziwani Nyasa

Asubuhi ya leo hapa ufukwe wa Matema, Kyela mkoani Mbeya..  Nikiitazama nuru ya jua ikichomoza kwa mbali, mashariki, nyuma ya milima ya Livingstone.you must be the changes you wish to see in the world.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barabara ya Matema

Barabara iendayo ufukwe wa Matema.  Niliipiga picha hii jana mchana.Kwa miaka mingi, barabara hii haikupewa kipaumbele ili ijengwe katika kiwango cha lami.  Angalau sasa, ujenzi wa barabara hii katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari majini

Wanasema, tembea uone.Nami nimeona.you must be the changes you wish to see in the world.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maisha ziwani

Maandalizi kwa ajili ya uvuvi usiku wa leo.  Mchana huu hapa ufukweni Matema, Ziwa Nyasa.you must be the changes you wish to see in the world.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo Niliyojifunza Mwaka 2015

Wakati mwaka ndiyo umefika ukingoni, ninaketi chini.  Ninatafakari.  Ninajikuta ninazikumbuka vema siku 365 za mwaka 2015.  Kila siku moja, ilikuwa ni ukurasa moja katika kitabu cha 2015.  Kila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safu za Milima ya Livingstone

Kama ionekanavyo kutoka mjini Kyela. Katika siku ya Mwaka Mpya wa 2016.you must be the changes you wish to see in the world.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matunda hayakauki Mbeya

Kila msimu na matunda yake. Kijijini Isyonje, wilaya ya Rungwe, Mbeya. Leo alasiri.you must be the changes you wish to see in the world.

View Article
Browsing all 76 articles
Browse latest View live