Tai Kwenye Mzoga
NIMEMALIZANA na Kevin Mponda kwenye kazi yake ya kiwango cha juu kabisa, Tai Kwenye Mzoga, ama kwa Kifaransa, L'aigle sur un cadavre.Mara nyingi nimewasikia watu wengi, katika mazungumzo ya ana kwa...
View ArticleKitabu Cha 100
KITABU cha 100, kwa mwaka huu!Kuanzia jana, namsoma ka'mkubwa Hussein Tuwa kwenye kitabu chake kisichowekeka chini, Wimbo Wa Gaidi.Usomaji wa vitabu nyakati za wikendi una changamoto zake. Kuna mpira...
View ArticleBiashara inayojiendesha
WAKATI wafanyabiashara wengi huandamwa na hofu juu ya wevi kwenye pesa zao, hali ni tofauti kwa Mzee Mtalikidonga. Takribani kilometa 78, mashariki ya mji wa Njombe, zinapoanzia safu za milima ya...
View ArticleMwaka wa kusoma vitabu
AMA HAKIKA, mwaka 2017 kwangu umekuwa mwaka wa kusoma vitabu. Kuliko wakati mwingine wowote katika maisha yangu, na pengine inaweza isitokee tena, kumudu kusoma vitabu vingi/machapisho mengi/miswada...
View ArticleNimewezaje kusoma vitabu vingi kwa mwaka?
BAADA ya jana kuweka orodha yangu ya vitabu nilivyovisoma mwaka 2017, nimeulizwa na rafiki zangu, inawezekanaje?Vitabu 107? Si kweli hata kidogo!Mwishoni mwa mwaka 2016, nilikuwa katika pitapita yangu...
View ArticleKitabu changu cha mwisho kwa mwaka 2017
LEO nimesoma kitabu changu cha mwisho kwa mwaka 2017. Kitabu cha 108.Nimejisoma mwenyewe. Kitabu cha HUBA. Ni kurasa 164 za simulizi ya mapenzi. Kuna Zedi. Kuna Rose. Kuna July.Nimefurahi sana kukisoma...
View ArticleShukrani za dhati kwenu
SHUKRANI ZA DHATI KWENUIMETIMU saa 3.50 usiku hapa Mbeya. Saa mbili na dakika kumi baadaye, tutakuwa katika mwaka wa 2018 BK.Wiki hii, nimebahatika kubadilishana mawazo na marafiki wengi juu ya vitabu...
View ArticleKitabu cha Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini
HERI ya Mwaka Mpya kwenu nyote.Leo nimebahatika kumsoma Mwandishi Nguli kupata kutokea katika lugha ya Kiswahili, Hayati Sheikh Shaaban Robert. Nimemsoma kupitia kitabu chake cha Maisha Yangu na Baada...
View ArticleFaida za kusoma vitabu
TAREHE kama ya leo mwaka jana, niliweka bandiko kwenye ukuta wangu wa Facebook, nikielezea faida za kusoma vitabu. Kwa kuwa, tumo tu mwanzoni mwaka wa 2018, nimeona si vibaya nikiikumbusha jamii juu ya...
View ArticleLeo nimemsoma Willy Gamba
LEO nimekuwa na wakati mzuri sana katika usomaji wa vitabu. Nimevisoma vitabu viwili vya Nguli katika riwaya za kijasusi, Aristablus Elvis Musiba. Nilianza na Kufa na Kupona. Hofu ikafuatia.Kufa na...
View ArticleKitabu cha Muhammad Ali: A Tribute To The Greatest
LEO nimefanikiwa kuufunga mwezi Januari kwa kumaliza kusoma kitabu changu cha 8 kwa mwaka huu. Ingawa, nilidhani ningesoma vitabu vichache, ninamshukuru Mungu, nimesoma zaidi ya malengo.Kitabu changu...
View ArticleNimepata vitabu hapa Iringa
JUMAMOSI hii, Iringa ni tulivu sana. Jua likiipunguza baridi ya hapa. Hali ya hewa ni ya kupendeza sana. Mandhari ya mji huu mkongwe haihitaji maelezo. Ni ya kuvutia, siku zote.Nimepita mjini si...
View ArticleUmeshasoma vitabu vingapi mwaka huu?
TAYARI ni tarehe 4 Februari 2018. Naandika nikiwa nimeketi kwenye mgahawa mdogo hapa Iringa. Hali ya hewa ingali ya kusisimua. Baridi kwa mbali. Mji huu hunivutia sana. Hunipa kumbukumbu za 2001 -...
View ArticleKitabu cha My Autobiography cha Sir Alex Ferguson
NIMEMALIZA kusoma kitabu cha My Autobiography usiku huu. Kina kurasa 429.Ni kitabu kilichoandikwa na Sir Alex Ferguson, aliyepata kuwa Meneja wa Manchester United kuanzia mwaka 1986 hadi 2013. Ni...
View ArticleKulipuliwa kwa daraja la Mto Chambeshi
TAREHE 11 Oktoba 1979, siku ya Alhamisi, ilikuwa siku ya kawaida kabisa kwenye maisha ya Reli ya Uhuru, TAZARA. Treni ya abiria ikiwa na abiria zaidi ya 700 ilikuwa ikikaribia kuwasili kwenye stesheni...
View ArticleNimerudi
NIMERUDI rasmi kublog.Ndiyo.Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kutokana na mambo yaliyokuwa nje ya uwezo wangu, nafurahi kusema, nimerejea. Ninazo simulizi nyingi. Nitawasimulia panapo uzima.Jambo la...
View ArticleMiaka 15 ya kublogu
TAREHE kama ya leo, miaka 15 iliyopita, niliketi kwenye internet cafe moja pale Buguruni Rozana jijini Dar es Salaam. Tofauti na siku zingine nilizoketi internet cafe kwa minajili ya kuperuzi Dar...
View ArticleHADITHI FUPI: Chenga
Sinza Mapambano, Dar es Salaam, 2013“SIJUI NIMEMKOSEA NINI Mungu?” Jefa anaongea mikono ikiwa kichwani. Kheri mikono pekee ndiyo ingeshughulishwa. Macho je? Yametota kwa machozi. Wanasema...
View ArticleHADITHI FUPI: Mkahawani
Iringa, 2018 “NAOMBA NIKUSAIDIE KUOKOTA.”Diba alishituka sauti ikimwongolesha nyuma yake. Si kushituka tu, vilevile alijisikia aibu kwa kuangusha kopo dogo la vimbaka.Kabla hajajibu, alimsikia mtu...
View ArticleNini kinatokea baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II?
Mchana wa siku ya leo, Septemba 8, 2022 mtawala wa dola ya Uingereza, Malkia Elizabeth wa Pili amefariki dunia akiwa kwenye kasri lake la Balmoral huko Uskochi.Mtawala huyo wa pili kutawala kwa muda...
View ArticleTaarifa ya EFF juu ya kifo cha Malkia Elizabeth II
MWAKA 2018, mpigania uhuru mwanamke maarufu Winnie Madikizela Mandela alifariki. Miongoni mwa mambo yaliyoteka nadhari ya wafuatiliaji wa mazishi yake, ilikuwa taabini iliyotolewa na kiongozi wa chama...
View ArticleHADITHI FUPI: Shosti
Songea, 2001“Alikuwa rafiki yangu mkubwa,” Nime alisema. “Nashindwa hata kuamini kilichotokea.”“Kama ulikuwa hujui,” Lade alisema. Akaendelea, “siku zote kikulacho ki nguoni mwako.”“Ila binadamu!”...
View ArticleMaeneo 10 ya kuyatembelea Nyanda za Juu Kusini Tanzania
IMEZOELEKA kwa watu wengi kutembelea maeneo kadha wa kadha ndani na nje ya Tanzania ifikapo mwisho wa mwaka. Mwezi Disemba ni mwezi wa likizo na sikukuu. Ukiondoa shule ambazo ni kawaida kwenda likizo...
View ArticleKwa herini Mbeya City huku ikituuma
Mbeya City katika moja ya nyakati zake bora. (Picha kwa hisani ya IPP Media).“TUMEKUJA kuwazamisha Mbeya City.” Ujumbe huu uliingia kwenye rununu yangu jana jioni. Rafiki yangu wa siku nyingi...
View ArticleSafari ya Victoria Falls
MAHALI FULANI BARANI Afrika, takribani kilometa 1,600 kutoka katikati ya jiji la Mbeya, nchi ya Zambia inakutana na Zimbabwe. Makutano hayo yanaporomosha maji ya mto Zambezi kwenye gema pana, na maji...
View Article