Quantcast
Channel: Fadhy Mtanga
Browsing latest articles
Browse All 76 View Live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tai Kwenye Mzoga

NIMEMALIZANA na Kevin Mponda kwenye kazi yake ya kiwango cha juu kabisa, Tai Kwenye Mzoga, ama kwa Kifaransa, L'aigle sur un cadavre.Mara nyingi nimewasikia watu wengi, katika mazungumzo ya ana kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitabu Cha 100

KITABU cha 100, kwa mwaka huu!Kuanzia jana, namsoma ka'mkubwa Hussein Tuwa kwenye kitabu chake kisichowekeka chini, Wimbo Wa Gaidi.Usomaji wa vitabu nyakati za wikendi una changamoto zake. Kuna mpira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Biashara inayojiendesha

WAKATI wafanyabiashara wengi huandamwa na hofu juu ya wevi kwenye pesa zao, hali ni tofauti kwa Mzee Mtalikidonga. Takribani kilometa 78, mashariki ya mji wa Njombe, zinapoanzia safu za milima ya...

View Article

Mwaka wa kusoma vitabu

AMA HAKIKA, mwaka 2017 kwangu umekuwa mwaka wa kusoma vitabu. Kuliko wakati mwingine wowote katika maisha yangu, na pengine inaweza isitokee tena, kumudu kusoma vitabu vingi/machapisho mengi/miswada...

View Article

Nimewezaje kusoma vitabu vingi kwa mwaka?

BAADA ya jana kuweka orodha yangu ya vitabu nilivyovisoma mwaka 2017, nimeulizwa na rafiki zangu, inawezekanaje?Vitabu 107? Si kweli hata kidogo!Mwishoni mwa mwaka 2016, nilikuwa katika pitapita yangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitabu changu cha mwisho kwa mwaka 2017

LEO nimesoma kitabu changu cha mwisho kwa mwaka 2017. Kitabu cha 108.Nimejisoma mwenyewe. Kitabu cha HUBA. Ni kurasa 164 za simulizi ya mapenzi. Kuna Zedi. Kuna Rose. Kuna July.Nimefurahi sana kukisoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shukrani za dhati kwenu

SHUKRANI ZA DHATI KWENUIMETIMU saa 3.50 usiku hapa Mbeya. Saa mbili na dakika kumi baadaye, tutakuwa katika mwaka wa 2018 BK.Wiki hii, nimebahatika kubadilishana mawazo na marafiki wengi juu ya vitabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitabu cha Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini

HERI ya Mwaka Mpya kwenu nyote.Leo nimebahatika kumsoma Mwandishi Nguli kupata kutokea katika lugha ya Kiswahili, Hayati Sheikh Shaaban Robert. Nimemsoma kupitia kitabu chake cha Maisha Yangu na Baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Faida za kusoma vitabu

TAREHE kama ya leo mwaka jana, niliweka bandiko kwenye ukuta wangu wa Facebook, nikielezea faida za kusoma vitabu. Kwa kuwa, tumo tu mwanzoni mwaka wa 2018, nimeona si vibaya nikiikumbusha jamii juu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leo nimemsoma Willy Gamba

LEO nimekuwa na wakati mzuri sana katika usomaji wa vitabu.  Nimevisoma vitabu viwili vya Nguli katika riwaya za kijasusi, Aristablus Elvis Musiba.  Nilianza na Kufa na Kupona.  Hofu ikafuatia.Kufa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitabu cha Muhammad Ali: A Tribute To The Greatest

LEO nimefanikiwa kuufunga mwezi Januari kwa kumaliza kusoma kitabu changu cha 8 kwa mwaka huu.  Ingawa, nilidhani ningesoma vitabu vichache, ninamshukuru Mungu, nimesoma zaidi ya malengo.Kitabu changu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimepata vitabu hapa Iringa

JUMAMOSI hii, Iringa ni tulivu sana.  Jua likiipunguza baridi ya hapa.  Hali ya hewa ni ya kupendeza sana.  Mandhari ya mji huu mkongwe haihitaji maelezo.  Ni ya kuvutia, siku zote.Nimepita mjini si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umeshasoma vitabu vingapi mwaka huu?

TAYARI  ni tarehe 4 Februari 2018.  Naandika nikiwa nimeketi kwenye mgahawa mdogo hapa Iringa.  Hali ya hewa ingali ya kusisimua. Baridi kwa mbali. Mji huu hunivutia sana.  Hunipa kumbukumbu za 2001 -...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitabu cha My Autobiography cha Sir Alex Ferguson

NIMEMALIZA kusoma kitabu cha My Autobiography usiku huu. Kina kurasa 429.Ni kitabu kilichoandikwa na Sir Alex Ferguson, aliyepata kuwa Meneja wa Manchester United kuanzia mwaka 1986 hadi 2013. Ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kulipuliwa kwa daraja la Mto Chambeshi

TAREHE 11 Oktoba 1979, siku ya Alhamisi, ilikuwa siku ya kawaida kabisa kwenye maisha ya Reli ya Uhuru, TAZARA. Treni ya abiria ikiwa na abiria zaidi ya 700 ilikuwa ikikaribia kuwasili kwenye stesheni...

View Article


Nimerudi

NIMERUDI rasmi kublog.Ndiyo.Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kutokana na mambo yaliyokuwa nje ya uwezo wangu, nafurahi kusema, nimerejea. Ninazo simulizi nyingi. Nitawasimulia panapo uzima.Jambo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miaka 15 ya kublogu

TAREHE kama ya leo, miaka 15 iliyopita, niliketi kwenye internet cafe moja pale Buguruni Rozana jijini Dar es Salaam. Tofauti na siku zingine nilizoketi internet cafe kwa minajili ya kuperuzi Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADITHI FUPI: Chenga

            Sinza Mapambano, Dar es Salaam, 2013“SIJUI NIMEMKOSEA NINI Mungu?” Jefa anaongea mikono ikiwa kichwani. Kheri mikono pekee ndiyo ingeshughulishwa. Macho je? Yametota kwa machozi. Wanasema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADITHI FUPI: Mkahawani

 Iringa, 2018 “NAOMBA NIKUSAIDIE KUOKOTA.”Diba alishituka sauti ikimwongolesha nyuma yake. Si kushituka tu, vilevile alijisikia aibu kwa kuangusha kopo dogo la vimbaka.Kabla hajajibu, alimsikia mtu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nini kinatokea baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II?

Mchana wa siku ya leo, Septemba 8, 2022 mtawala wa dola ya Uingereza, Malkia Elizabeth wa Pili amefariki dunia akiwa kwenye kasri lake la Balmoral huko Uskochi.Mtawala huyo wa pili kutawala kwa muda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya EFF juu ya kifo cha Malkia Elizabeth II

MWAKA 2018, mpigania uhuru mwanamke maarufu Winnie Madikizela Mandela alifariki. Miongoni mwa mambo yaliyoteka nadhari ya wafuatiliaji wa mazishi yake, ilikuwa taabini iliyotolewa na kiongozi wa chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADITHI FUPI: Shosti

 Songea, 2001“Alikuwa rafiki yangu mkubwa,” Nime alisema. “Nashindwa hata kuamini kilichotokea.”“Kama ulikuwa hujui,” Lade alisema. Akaendelea, “siku zote kikulacho ki nguoni mwako.”“Ila binadamu!”...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maeneo 10 ya kuyatembelea Nyanda za Juu Kusini Tanzania

 IMEZOELEKA kwa watu wengi kutembelea maeneo kadha wa kadha ndani na nje ya Tanzania ifikapo mwisho wa mwaka. Mwezi Disemba ni mwezi wa likizo na sikukuu. Ukiondoa shule ambazo ni kawaida kwenda likizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa herini Mbeya City huku ikituuma

 Mbeya City katika moja ya nyakati zake bora. (Picha kwa hisani ya IPP Media).“TUMEKUJA kuwazamisha Mbeya City.” Ujumbe huu uliingia kwenye rununu yangu jana jioni. Rafiki yangu wa siku nyingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari ya Victoria Falls

 MAHALI FULANI BARANI Afrika, takribani kilometa 1,600 kutoka katikati ya jiji la Mbeya, nchi ya Zambia inakutana na Zimbabwe. Makutano hayo yanaporomosha maji ya mto Zambezi kwenye gema pana, na maji...

View Article

Browsing latest articles
Browse All 76 View Live